Monday 13 February 2017

Huyu Ndiyo Abdullah ibn Abbass- msomi wa umma huu

Abdullah ibn Abbas bin Abdul Muttalib ni mtoto wa ami yake Mtume (SAW). Alizaliwa miaka mitatu kabla ya Hijra.  Na Mtume alipofariki, Abdullah alikuwa na umri wa miaka kumi  na mitatu.   Endelea Kupata Zaidi

Saturday 9 July 2016

HAQQIY: Vitabu vya Dini


Vitabu vya Dini:
Haqqiy imekurahisishia upatikanaji wa vitabu mbalimbali vya Kiislamu vya wanachuoni wa kuaminika na kufanyiwa tarjama katika lugha ya Kiswahili. Una fursa ya kupata vitabu hivyo sasa na tutaendelea kukusanyia vitabu vingine vingi zaidi Inshaallah.

Thursday 20 August 2015

Abu Ubaydah ibn Al-Jarraah-mtihani wake ulikuwa mzito !

Alikuwa na umbo la kuvutia, mwembamba na mrefu uso wake mwingi huwa na tabasamu na kuwa na ndevu ziliachana achana.  Alikuwa mkarimu sana mpole na mwenye haya.  Hata hivyo, katika mazingira magumu huwa mkakamavu na mkali mfano wa upanga.
Jina lake kamili ni Amr ibn Abdullah ibn Al-Jarraah...... Endelea Kupata Zaidi