Saturday 9 July 2016

HAQQIY: Vitabu vya Dini


Vitabu vya Dini:
Haqqiy imekurahisishia upatikanaji wa vitabu mbalimbali vya Kiislamu vya wanachuoni wa kuaminika na kufanyiwa tarjama katika lugha ya Kiswahili. Una fursa ya kupata vitabu hivyo sasa na tutaendelea kukusanyia vitabu vingine vingi zaidi Inshaallah.