Friday 24 April 2020

Fadhila za swaumu

Swaumu ni Nini?
Saumu Katika Lugha
Ni kujizuia na kujiepusha kufanya jambo fulani.
Saumu Kisheria
Ni kufanya ibada kwa ajili ya Mwenyezi Mungu U kwa kujizuia kula, kunywa na kufanya tendo la ndoa kuanzia kutokeza kwa alfajiri hadi kutwa kwa Jua. Endelea Kupata Zaidi

Monday 20 April 2020

Abu Hurayrah-mpokezi wa hadithi

Mamilioni ya waislam tokea mwanzo mwanzo mwa historia ya kiislam hadi hii leo wanaisoma kauli hii ‘kutoka kwa Bwana Abu Hurayrah radhi za Mwenyezi Mungu zimfikie amesema, mjumbe wa Mwenyezi Mungu amesema…….”   Endelea Kupata Zaidi