Monday 13 February 2017

Huyu Ndiyo Abdullah ibn Abbass- msomi wa umma huu

Abdullah ibn Abbas bin Abdul Muttalib ni mtoto wa ami yake Mtume (SAW). Alizaliwa miaka mitatu kabla ya Hijra.  Na Mtume alipofariki, Abdullah alikuwa na umri wa miaka kumi  na mitatu.   Endelea Kupata Zaidi

Saturday 9 July 2016

HAQQIY: Vitabu vya Dini


Vitabu vya Dini:
Haqqiy imekurahisishia upatikanaji wa vitabu mbalimbali vya Kiislamu vya wanachuoni wa kuaminika na kufanyiwa tarjama katika lugha ya Kiswahili. Una fursa ya kupata vitabu hivyo sasa na tutaendelea kukusanyia vitabu vingine vingi zaidi Inshaallah.