Thursday 20 August 2015

Abu Ubaydah ibn Al-Jarraah-mtihani wake ulikuwa mzito !

Alikuwa na umbo la kuvutia, mwembamba na mrefu uso wake mwingi huwa na tabasamu na kuwa na ndevu ziliachana achana.  Alikuwa mkarimu sana mpole na mwenye haya.  Hata hivyo, katika mazingira magumu huwa mkakamavu na mkali mfano wa upanga.
Jina lake kamili ni Amr ibn Abdullah ibn Al-Jarraah...... Endelea Kupata Zaidi

Monday 20 October 2014

Mvua Kubwa Yanyesha Mtwara


Maeneo Mengi Yaliyopo Wilaya Ya Masasi Yamenyesha Mvua Kubwa Zilizoambatana Na Radi. Mvua Hizo Zilidumu Kwa Muda Wa Taklibani Saa Moja  

Thursday 23 January 2014

Haqqiy: Hadiyth Ya Al-Jassaasah

Haqqiy: Hadiyth Ya Al-Jassaasah: Hadiyth Ya Al-Jassaasah Imetafsiriwa na Muhammad Faraj Salem Al Saiy Utafiti mwingi uliofanywa na wazungu wenye kufuatilia mam...