Saturday 9 July 2016

HAQQIY: Vitabu vya Dini


Vitabu vya Dini:
Haqqiy imekurahisishia upatikanaji wa vitabu mbalimbali vya Kiislamu vya wanachuoni wa kuaminika na kufanyiwa tarjama katika lugha ya Kiswahili. Una fursa ya kupata vitabu hivyo sasa na tutaendelea kukusanyia vitabu vingine vingi zaidi Inshaallah.

Thursday 20 August 2015

Abu Ubaydah ibn Al-Jarraah-mtihani wake ulikuwa mzito !

Alikuwa na umbo la kuvutia, mwembamba na mrefu uso wake mwingi huwa na tabasamu na kuwa na ndevu ziliachana achana.  Alikuwa mkarimu sana mpole na mwenye haya.  Hata hivyo, katika mazingira magumu huwa mkakamavu na mkali mfano wa upanga.
Jina lake kamili ni Amr ibn Abdullah ibn Al-Jarraah...... Endelea Kupata Zaidi

Monday 20 October 2014

Mvua Kubwa Yanyesha Mtwara


Maeneo Mengi Yaliyopo Wilaya Ya Masasi Yamenyesha Mvua Kubwa Zilizoambatana Na Radi. Mvua Hizo Zilidumu Kwa Muda Wa Taklibani Saa Moja