Monday 13 February 2017

Huyu Ndiyo Abdullah ibn Abbass- msomi wa umma huu

Abdullah ibn Abbas bin Abdul Muttalib ni mtoto wa ami yake Mtume (SAW). Alizaliwa miaka mitatu kabla ya Hijra.  Na Mtume alipofariki, Abdullah alikuwa na umri wa miaka kumi  na mitatu.   Endelea Kupata Zaidi