
Miaka takribani Sita sasa kumekosekana madrasa yenye uhakika kutokana na kuhamishwa Sheykh aliyekuwa akifundisha wakati huo kutokana chuki za vigogo wa kijiji cha Chigugu. Sheykh Abillah mwenye kipaji cha ufundishaji wa Elimu ya dini ya Kiislam, ujuzi wa kuwavuta watu wenye rika tofauti tofauti kuwa na ari ya kusoma dini alijikuta akinyanyasika, kutukanwa na kufukuzwa kwa kashifa, kutokana na Nuru aliyokuwa akiieneza katika jamii hiyo ilyo totoro na Ushirikina, Ulevi, Zinaa na Uislamu wa kurithishana.
Endelea Kupata Zaidi>>>>