Hadiyth Ya 41 Pepo Na Moto Vilishindana
عَنْ أَبِي سَعِيدٍ الْخُدْرِيِّ قَالَ
قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: ((احْتَجَّتْ الْجَنَّةُ وَالنَّارُ فَقَالَتْ
النَّارُ فِيَّ الْجَبَّارُونَ وَالْمُتَكَبِّرُونَ وَقَالَتْ الْجَنَّةُ فِيَّ
ضُعَفَاءُ النَّاسِ وَمَسَاكِينُهُمْ. قَالَ: فَقَضَى بَيْنَهُمَا: إِنَّكِ
الْجَنَّةُ رَحْمَتِي أَرْحَمُ بِكِ مَنْ أَشَاءُ وَإِنَّكِ النَّارُ عَذَابِي
أُعَذِّبُ بِكِ مَنْ أَشَاءُ وَلِكِلَاكُمَا عَلَيَّ مِلْؤُهَا)) البخاري, مسلم و الترمذي
Kutoka kwa
Abu Sa’iyd Al-Khudriyy ambaye amesema Mtume صلى الله عليه وسلم amesema: ((Pepo na moto vilishindana, moto ulisema: Ndani yangu wamo
wenye nguvu na wenye kibri. Pepo ikasema: Ndani yangu wamo watu dhaifu na
maskini. Akasema: Allaah Akahukumu baina yao: (Akasema): Wewe Pepo ni Rahma
(huruma) Zangu, kupitia kwako wewe Humrehemu Nimtakaye. Nawe moto ni adhabu
Yangu, kupitia kwako wewe ninawaadhibu wale niwatakao na kila mmoja katika
nyinyi mtajaa)) [Al-Bukhaariy,
Muslim na At-Tirmidhiy]