Hadiyth Ya 3
Allaah Atanyakua Ardhi Na Atakunja mbingu Katika mkono Wake Wa kulia
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللَّهُ
عَنْهُ عَنْ النَّبِيِّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ: ((يَقْبِضُ
اللَّهُ الْأَرْضَ وَيَطْوِي السَّمَاءَ بِيَمِينِهِ ثُمَّ يَقُولُ أَنَا
الْمَلِكُ أَيْنَ مُلُوكُ الْأَرْضِ)) البخاري و مسلم
Kutoka
kwa Abu Hurayrah رضي الله
عنه kwamba
Mtume صلى الله عليه وسلم amesema: ((Allaah Atainyakua dunia yote na atazikunja mbingu
kwa kwa Mkono Wake wa kulia. Kisha atasema: Mimi Ndiye Mfalme. Wako wapi
wafalme wa ardhi?)) [Al-Bukhaariy na Muslim]