(Imeteremka Makka)
Nabii s.a.w. aliulizwa khabari za Mola wake Mlezi, akaamrishwa katika Sura
hii ajibu kwamba Yeye ni Mwenye kukusanya sifa zote za ukamilifu, ni Mmoja,
wa Pekee, Mwenye kukusudiwa daima katika haja, Mwenye kujitosha hamhitajii
yeyote mwenginewe, ametakasika na kuwa na mfano, hakuzaa wala hakuzaliwa,
wala hana mwenzie katika viumbe vyake.
بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ
قُلْ هُوَ اللَّـهُ أَحَدٌ ﴿١﴾
|
1. Sema: “Yeye ni Allaahu Ahad (Mmoja Pekee). |
اللَّـهُ الصَّمَدُ ﴿٢﴾
|
2. “Allaah ni Asw-Swamad (Aliyekamilika sifa za kila aina ya utukufu Wake, Mwenye kukusudiwa kwa haja zote). |
لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ ﴿٣﴾
|
3. “Hakuzaa na wala Hakuzaliwa. |
وَلَمْ يَكُن لَّهُ كُفُوًا أَحَدٌ ﴿٤﴾
waliopotea.
Ukitaka kusoma Sura nyengine Rejeauliko toka
Ukiwa una shauri au maelezo juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii falhaqqiy@gmail.com
Ukiwa una shauri au maelezo juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii falhaqqiy@gmail.com