Hadiyth Ya 39 Nimewatayarishia Pepo Waja Wangu Wema
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ عَنْ رَسُولِ اللَّهِ صَلَّى
اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ: ((قَالَ اللَّهُ تَبَارَكَ وَتَعَالَى:
أَعْدَدْتُ لِعِبَادِي الصَّالِحِينَ مَا لَا عَيْنٌ رَأَتْ وَلَا أُذُنٌ سَمِعَتْ
وَلَا خَطَرَ عَلَى قَلْبِ بَشَرٍ)) قَالَ أَبُو هُرَيْرَةَ اقْرَءُوا إِنْ
شِئْتُمْ: (( فَلَا تَعْلَمُ نَفْسٌ مَا أُخْفِيَ لَهُمْ مِنْ قُرَّةِ أَعْيُنٍ)) البخاري, مسلم, الترمذي وابن ماجه
Kutoka kwa
Abu Hurayrahرضي الله عنه ambaye amesema: Mtume صلى الله عليه وسلم amesema: ((Allaah تَبَارَكَ
وَتَعَالَى Amesema: ((Nimewatayarishia waja Wangu
wema kile ambacho jicho lolote halijapata kuona na sikio lolote halijapata
kusikia na wala haijapata kupita katika moyo wa binaadamu)) Akasema Abu
Hurayrah: Kwa hivyo, soma ukitaka: ((Nafsi yeyote haijui waliofichiwa katika
hayo yanayofurahisha macho huko Peponi)) [As-Sajdah: 32:17] [Al-Bukhaariy, Muslim,
At-Tirmidhiy na Ibn Maajah]