HADITHI YA 39

الحديث التاسع والثلاثون
"إن الله تجاوز لي عن أمتي الخطأ والنسيان"
 عَن ابْنِ عَبَّاسِ رَضِيَ الله عَنْهُما: أن رَسُوَل اللهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ : ((إنَّ الله تَجاوَزَ لِي عَنْ أُمَّتي: الْخَطَأَ، والنِّسْياَنَ، وَمَا اسْتُكْرِهُوا عَلَيْهِ)).
حَدِيثٌ حَسَنٌ، رَوَاهُ ابْنُ مَاجَهْ   وَالْبَيْهَقِيّ  وَغيرهما 
 
HADITHI YA  39
ALLAAH AMEWASAMEHE UMMA WAKE KUKOSEA NA KUSAHAU KWA AJILI YAKE ( MTUME صلى الله عليه  وسلم  )

Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas رضي الله عنهما  ambaye amesema kwamba Mtume صلى الله عليه وسلم   kasema:
Allaah Amewasamehe kwa ajili yangu umma wangu kwa kukosea, kusahau, na yale wanayoyafanya kwa kulazimishwa kwa nguvu (ambayo hawana khiyari nayo).

Imesimuliwa na Ibn Maajah na Al-Bayhaqi