Hadiyth Ya 33 Mja Mwenye Kusubiri Anapoondokewa Na kipenzi Chake Hulipwa Pepo
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ أَنَّ رَسُولَ
اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ: ((يَقُولُ اللَّهُ تَعَالَى مَا
لِعَبْدِي الْمُؤْمِنِ عِنْدِي جَزَاءٌ إِذَا قَبَضْتُ صَفِيَّهُ مِنْ أَهْلِ
الدُّنْيَا ثُمَّ احْتَسَبَهُ إِلَّا الْجَنَّةُ)) البخاري
Kutoka kwa
Abu Hurayrahرضي الله عنه ambaye amesema: kwamba Mtume صلى الله عليه وسلم amesema: ((Allaah Aliyetukuka
Anasema: Haitokuwa jazaa ya mja wangu Muumini Ninapomchukulia kipenzi chake
bora katika wakazi wa duniani kisha akastahamili kwa ajili Yangu, haitakua ila
ni Pepo)) [Al-Bukhaariy]