Hadiyth Ya 1
Mja Wangu Ana Makazi Mazuri Kwangu Ananishukuru
عَنْ
أَبِي هُرَيْرَةَ قَالَ:سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ
وَسَلَّمَ يَقُولُ: ((إِنَّ اللَّهَ عَزَّ وَجَلَّ يَقُولُ: إِنَّ عَبْدِي
الْمُؤْمِنَ عِنْدِي بِمَنْزِلَةِ كُلِّ خَيْرٍ يَحْمَدُنِي وَأَنَا أَنْزِعُ
نَفْسَهُ مِنْ بَيْنِ جَنْبَيْهِ)) مسند أحمد
Kutoka
kwa Abu Hurayrahرضي الله عنه kwamba nimemsikia Mtume صلى الله
عليه وسلم amesema: ((Allaah
Aliyetukuka Husema: Hakika mja Wangu Muumini yuko katika makazi mazuri Kwangu.
Ananishukuru hata Ninapomtoa roho kutoka baina pande zake mbili)) [Musnad Ahmad]