Hadiyth Ya 34
Mwenye
Kufurahi Na Kuchukia Kukutana Na Allaah
عَنْ
أَبِي هُرَيْرَةَ أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ
قَالَ: ((قَالَ اللَّهُ إِذَا أَحَبَّ
عَبْدِي لِقَائِي أَحْبَبْتُ لِقَاءَهُ وَإِذَا كَرِهَ لِقَائِي كَرِهْتُ
لِقَاءَهُ))
البخاري و مالك
Kutoka kwa
Abu Hurayrahرضي الله عنه ambaye amesema kwamba Mtume صلى الله عليه وسلم amesema: ((Allaah سبحانه وتعالى Amesema: Mja wangu akipenda kukutana na Mimi, Nami hupenda
kukutana naye; na akiwa hapendi kukutana na Mimi, basi nami sipendi kukutana
naye)) [Al-Bukhaariy na Maalik]