عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللَّهُ
عَنْهُ قَالَ قَالَ النَّبِيُّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ (( يَقُولُ
اللَّهُ تَعَالَى أَنَا عِنْدَ ظَنِّ عَبْدِي بِي وَأَنَا مَعَهُ إِذَا ذَكَرَنِي
فَإِنْ ذَكَرَنِي فِي نَفْسِهِ ذَكَرْتُهُ فِي نَفْسِي وَإِنْ ذَكَرَنِي فِي
مَلَإٍ ذَكَرْتُهُ فِي مَلَإٍ خَيْرٍ مِنْهُمْ وَإِنْ تَقَرَّبَ إِلَيَّ بِشِبْرٍ
تَقَرَّبْتُ إِلَيْهِ ذِرَاعًا وَإِنْ تَقَرَّبَ إِلَيَّ ذِرَاعًا تَقَرَّبْتُ
إِلَيْهِ بَاعًا وَإِنْ أَتَانِي يَمْشِي أَتَيْتُهُ هَرْوَلَةً))
البخاري , مسلم,
الترمذي و ابن ماجه
Kutoka
kwa Abu Hurayrah رضي الله عنه ambaye alisema: Mtume
صلى الله عليه وسلم alisema:
((Allaah Aliyetukuka, Anasema: Mimi ni vile mja Wangu anavyonidhania. Niko
pamoja naye anaponitaja. Anaponitaja katika nafsi yake, Ninamtaja katika nafsi
Yangu, anaponitaja katika hadhara, Ninamtaja katika hadhara bora zaidi. Na
anaponikaribia shibiri Ninamkaribia dhiraa; anaponikaribia dhiraa, Ninamkaribia
pima, anaponijia kwa mwendo (wa kawaida) ninamwendea mbio)) [Al-Bukhaariy,
Muslim, At-Tirmidhiy na Ibn Maajah]